Baadhi ya vifaa vilivyokabidhiwa.
Mwakilishi wa UNICEF Tanzania, Dk
Juma Gulaid akimkabidhi hati ya vifaa vya kuwahudumia watoto kwa Katibu
Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando.
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Mseru akipokea
hati ya vifaa kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa
Jamii, Dk Donan Mmbando. Vifaa hivyo vimetolewa na UNICEF.
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) Tanzania, Dk Juma Gulaid akisoma taarifa kabla ya kukabidhi vifaa vya kuhudumia watoto katika hafla fupi iliyofanyika katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Donan Mmbando
0 comments:
Post a Comment