Katibu
Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile kushoto akikabidhiana
hati ya makubaliano ya msaada wa fedha kwa ajili ya mradi wa ujenzi na
mwakilishi wa benki hyo Dkt. Tonia Kandiero wakati wa makabidhiano hayo
leo jijini Dar es salaam.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile kushoto akiongea na
waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa makabidhiano ya fedha kwa
ajili ya mradi wa ujenzi kulia akiwa na mwakilishi wa benki hyo Dkt.
Tonia Kandiero wakati wa makabidhiano hayo leo jijini Dar es salaam.
Mtendaji
Mkuu wa wakala wa barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale
akiongea na waandishi wa habari baada ya makabidhiano ya fedha kwa
ajili ya mradi wa ujenzi uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
0 comments:
Post a Comment