Katibu
 Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile kushoto akikabidhiana 
hati ya makubaliano ya msaada wa fedha kwa ajili ya mradi wa ujenzi na 
mwakilishi wa benki hyo Dkt. Tonia Kandiero wakati wa makabidhiano hayo 
leo jijini Dar es salaam.
Katibu
 Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile kushoto akiongea na 
waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa makabidhiano ya fedha kwa 
ajili ya mradi wa ujenzi kulia akiwa na mwakilishi wa benki hyo Dkt. 
Tonia Kandiero wakati wa makabidhiano hayo leo jijini Dar es salaam.
Mtendaji
 Mkuu wa wakala wa barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale
 akiongea na waandishi wa habari baada ya makabidhiano ya fedha kwa 
ajili ya mradi wa ujenzi uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment