Pages

Ads 468x60px

Saturday, December 5, 2015

KITUO CHA RADIO CHA HITS FM RADIO CHATIWA MOTO NA WATU WASIO JUULIKANA USIKU WA JUZI



HI1 
Vifaa  vyote vya kutangazia katika Studio ya Hits FM Radio vilivyoteketea kwa moto usiku wa juzi  katika studio hiyo mara baaada ya kuvamiwa na watu wasipjuulikana  huko Migombani Mjini Zanzibar
HI2 Waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini maelezo yanayotolewa na Mkuu wa kituo cha  Hits FM Mohammed Abdallah hayupo pichani mara baada ya kuunguzwa kituo cha  Radio hiyo.
HI02Mwandishi  wa habari akimuhoji Mkuu wa Utawala wa Afisi kuu ya CCM FM Salum Khatibu Reja alipofika katika kituo cha Radio ya Hits FM na kujionea hali ya kituo hicho.
HI3 
Waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini maelezo yanayotolewa na Mkuu wa kituo cha  Hits FM Mohammed Abdallah hayupo pichani mara baada ya kuunguzwa kituo cha  Radio hiyo.
HI4 
Mwenyeki ti wa MCT Suleiman Seif katikati akifafanuwa  jambo  kwa waandishi wa habari kuhusiana  na kutiwa moto  Hits FM Radio  usiku wa juzi iliyopo Migombani Mjini Zanzibar. 

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates