Pages

Ads 468x60px

Saturday, December 5, 2015

MANISPAA YA KIONONDONI NA USAFI WA MAZINGIRA


ki7Mkurugenzi wa Idara ya Tawala za Mikoa Dodoma Bi.Susano Chekani akiwa ameongoza na viongozi mbalimbali kutoka Manispaa ya Kinondoni katika ziara ya kuangalia hali ya usafi ya soko la magomeni kandokando ni sehemu ya kukusanyia taka za soko hilo na baadaye huchukuliwa na gari maalum la kubebea taka kwa ajili ya kupelekwa dampo kuu.
ki8Mkurugenzi wa Idara ya Tawala za Mikoa Dodoma Bi.Susano Chekani akiwa ameongoza na viongozi mbalimbali kutoka Manispaa ya Kinondoni katika ziara ya kuangalia hali ya usafi ya soko la magomeni kandokando ni sehemu ya kukusanyia taka za soko hilo na baadaye huchukuliwa na gari maalum la kubebea taka kwa ajili ya kupelekwa dampo kuu.
ki9Mkurugenzi wa Idara ya Tawala za Mikoa Dodoma Bi.Susano Chekani(Kulia) akimsikiliza Mwenyekiti wa Soko la Tandale Mohamed Mwikya(Kushoto) wakati wa ziara ya kukagua hali ya usafi wa soko hilo
ki10 
Gari la Kuzoa taka kutoka katika Manispaa ya Kinondoni likiwa limebeba taka kutoka Soko la Tandale tayari kwenda kuzihifadhi katika dampo kuu, Manispaa hiyo imekuwa ikihakikisha hali ya usafi katika masoko yake kwa kupeleka magari ya kuzoa taka kila siku ili kuepukana na magonjwa ambukizi ikiwemo kipindupindu.
ki12 
 Sehemu ya Soko lilipo kwenye kituo cha Daladala cha Simu 2000 eneo la Sinza kikiwa katika hali nzuri ya usafi huku uongozi wa eneo hilo wakiendelea kuisimamia hali hiyo kama ambavyo ilivyoagizwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli kuwa siku ya sherehe ya Uhuru ambayo huadhimishwa kila Desemba 9, mwezi wa 12 kuwa ni siku ya usafi wa mazingira ili kuepukana na magonjwa amukizi kikiwemo kipindupindu.

ki13 
Sehemu ya Daraja la Tegeta Manispaa ya Kinondoni ikiwa imegeuzwa Dampo na wakazi wa eneo hilo kwa ambapo Mkurugenzi wa Idara ya Tawala za Mikoa Dodoma Bi.Susano Chekani aliagiza uchafu huo kutolewa haraka kwa kuwa inahatarisha hali ya afya kwa wakazi wa maeneo hayo . 
ki1Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Injinia, Musa Natty akieleza jambo wakati wa mkutano na wadau wa usafi wa mazingira kuhusu mkakati wa kufanya usafi katika Manispaa hiyo kufuatia agizo la Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambapo siku ya sikuu ya Uhuru, inayoadhimishwa kila Desemba 9 kuwa siku ya kufanya usafi ,kulia kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya Tawala za Mikoa Dodoma Bi.Susano Chekani .
ki2Mkurugenzi wa Idara ya Tawala za Mikoa Dodoma Bi.Susano Chekani akifafanua jambo kwa wajumbe wa mkutano wa mkakati wa usafi (hawapo katika picha) namna ya kushirikiana katika kuhakikisha mazingira ya jiji la Dar es Salaam yanakuwa safi na salama ili kuepukana na magonjwa ambukizi ikiwemo kipindupindu katika kutekeleza agizo la Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli kuadhimisha siku ya sikuu ya Uhuru, Desemba 9 kuwa siku ya kufanya usafi , kulia kwake ni Katibu Tawala Afya Daktari.Grace Magembe.
ki3 
Wajumbe wa mkutano wa usafi ambao pia ni wadau kutoka taasisi mbalimbali zikiwemo Taasisi za kifedha, Mazingira,Jeshi la Magereza,Wanamazingira,Vikundi vya Usafi na Wafanyakazi wa Manispaa ya Kinondoni wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa katika mkutano huo ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli kuadhimisha siku ya sikuu ya Uhuru, Desemba 9 mwaka huu kuwa siku ya kufanya usafi .
ki4 
Wajumbe wa mkutano wa usafi ambao pia ni wadau kutoka taasisi mbalimbali zikiwemo Taasisi za kifedha, Mazingira,Jeshi la Magereza,Wanamazingira,Vikundi vya Usafi na Wafanyakazi wa Manispaa ya Kinondoni wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa katika mkutano huo ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli kuadhimisha siku ya sikuu ya Uhuru, Desemba 9 mwaka huu kuwa siku ya kufanya usafi .
ki5 
Mkurugenzi wa Idara ya Tawala za Mikoa Dodoma Bi.Susano Chekani akikagua Soko la Magomeni lilipo Manispaa ya Kinondoni wakati ziara ya kuangalia hali ya usafi ikiwa ni kutekeleza agizo lililotolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli kuadhimisha siku ya sikuu ya Uhuru, Desemba 9 kuwa siku ya kufanya usafi,kulia kwake ni Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Injinia Mussa Natty.
ki6 
Mkurugenzi wa Idara ya Tawala za Mikoa Dodoma Bi.Susano Chekani akiongea na wachuuzi wa Soko la Magomeni katika Manispaa ya Kinondoni katika ziara ya kuangalia hali ya usafi katika soko hilo.

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates