Gari
 la Kuzoa taka kutoka katika Manispaa ya Kinondoni likiwa limebeba taka 
kutoka Soko la Tandale tayari kwenda kuzihifadhi katika dampo kuu, 
Manispaa hiyo imekuwa ikihakikisha hali ya usafi katika masoko yake kwa 
kupeleka magari ya kuzoa taka kila siku ili kuepukana na magonjwa 
ambukizi ikiwemo kipindupindu.
 Sehemu ya Soko lilipo kwenye kituo cha Daladala cha Simu 2000 eneo la 
Sinza kikiwa katika hali nzuri ya usafi huku uongozi wa eneo hilo 
wakiendelea kuisimamia hali hiyo kama ambavyo ilivyoagizwa na Rais wa 
Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli kuwa siku 
ya sherehe ya Uhuru ambayo huadhimishwa kila Desemba 9, mwezi wa 12 kuwa
 ni siku ya usafi wa mazingira ili kuepukana na magonjwa amukizi 
kikiwemo kipindupindu.
Sehemu
 ya Daraja la Tegeta Manispaa ya Kinondoni ikiwa imegeuzwa Dampo na 
wakazi wa eneo hilo kwa ambapo Mkurugenzi wa Idara ya Tawala za Mikoa 
Dodoma Bi.Susano Chekani aliagiza uchafu huo kutolewa haraka kwa kuwa 
inahatarisha hali ya afya kwa wakazi wa maeneo hayo . 
Wajumbe
 wa mkutano wa usafi ambao pia ni wadau kutoka taasisi mbalimbali 
zikiwemo Taasisi za kifedha, Mazingira,Jeshi la 
Magereza,Wanamazingira,Vikundi vya Usafi na Wafanyakazi wa Manispaa ya 
Kinondoni wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa katika mkutano huo 
ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 
Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli kuadhimisha siku ya sikuu ya Uhuru, Desemba 9
 mwaka huu kuwa siku ya kufanya usafi .
Wajumbe
 wa mkutano wa usafi ambao pia ni wadau kutoka taasisi mbalimbali 
zikiwemo Taasisi za kifedha, Mazingira,Jeshi la 
Magereza,Wanamazingira,Vikundi vya Usafi na Wafanyakazi wa Manispaa ya 
Kinondoni wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa katika mkutano huo 
ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 
Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli kuadhimisha siku ya sikuu ya Uhuru, Desemba 9
 mwaka huu kuwa siku ya kufanya usafi .
Mkurugenzi
 wa Idara ya Tawala za Mikoa Dodoma Bi.Susano Chekani akikagua Soko la 
Magomeni lilipo Manispaa ya Kinondoni wakati ziara ya kuangalia hali ya 
usafi ikiwa ni kutekeleza agizo lililotolewa na Rais wa Jamuhuri ya 
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli kuadhimisha siku ya 
sikuu ya Uhuru, Desemba 9 kuwa siku ya kufanya usafi,kulia kwake ni 
Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Injinia Mussa Natty.
Mkurugenzi
 wa Idara ya Tawala za Mikoa Dodoma Bi.Susano Chekani akiongea na 
wachuuzi wa Soko la Magomeni katika Manispaa ya Kinondoni katika ziara 
ya kuangalia hali ya usafi katika soko hilo.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment