Pages

Ads 468x60px

Thursday, November 26, 2015

BARCLAYS YATOA HUNDI YA ASILIMIA 100 KWA MTEJA KUPITISHA MSHAHARA KATIKA BENKI HIYO




Meneja wa kitengo cha Bidhaa –Wateja wa Rejareja wa Benki ya Barclays,Valence Ruteganya akizungumza na waandishi wa habari juu ya kampeni ya wateja kupata asilimia 100 ya mshahara kwa kupita katika akaunti ya benki ya Baclays katika hafla ya kumkabidhi mteja aliyepitisha mshahara wake na kupata asilimia 10 iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam,kushoto Meneja wa Kanda ya Namba Moja,Kitumari Massawe kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa –Wateja wa Rejareja,Oscar Mwamfwagasi.
Meneja wa Kanda ya Namba Moja,Kitumari Massawe akimkabidhi mfano wa hundi kwa Julius Odinga aliyeshinda asilimia 100 baada ya kupitisha mshahara wake katika benki hiyo anayeshuhudia ni Meneja wa Tawi la Mikocheni wa Benki ya Barclays,Veronica Mcharo katika hafla iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Chalila Kibuda wa Globu ya Jamii)

CHUKO KIKUU CHA USHIRIKA NA BIASHARA,MOSHI PAMOJA NA CHAMA CHA SOKA CHA MKOA WA KILIMANJARO VYAPIGWA JEKI


Meneja masoko wa Kampuni ya Megatrade Investment ya jijini Arusha,Edmund Rutaraka akimkabidhi hundi ya kiasi cha shilingi Milioni 1.5 ,katibu wa Chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro ,KRFA,Mohamed Musa kwa ajili ya kusadia ligi daraja la tatu ngazi ya mkoa iliyoanza hivi karibuni.

Mweka hazina wa Chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro,Kusianga Kiata,akitizama hundi iliyotolewa na kampuni ya Megatrade Investment ya jijini Arusha.
Baadhi ya wadau wa soka waliofika kushuhudia makabidhiano hayo yaliyofanyika katika ofisi za chama hicho zilizopo jengo la Voda House.

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates