Mkemia
 Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele akifungua mafunzo ya kujiandaa 
kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa afya na mazingira 
kwenye maeneo ya bandari leo jijini Dar es salaam. 
 Meneja
 wa Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Mashariki Bw. Daniel Ndiyo
 akiwakaribisha wadau wa masuala ya kemikali kutoka Mataifa mbalimbali 
kushiriki katika mafunzo ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali
 zenye madhara kwa afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari leo jijini
 Dar es salaam.
Meneja
 wa Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Mashariki Bw. Daniel Ndiyo
 akiwakaribisha wadau wa masuala ya kemikali kutoka Mataifa mbalimbali 
kushiriki katika mafunzo ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali
 zenye madhara kwa afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari leo jijini
 Dar es salaam.   
 Wadau
 wa masuala ya kemikali kutoka Mataifa mbalimbali wakifuatilia mafunzo 
ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa afya 
na mazingira kwenye maeneo ya bandari leo jijini Dar es salaam.
Wadau
 wa masuala ya kemikali kutoka Mataifa mbalimbali wakifuatilia mafunzo 
ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa afya 
na mazingira kwenye maeneo ya bandari leo jijini Dar es salaam.  Mwakilishi
 kutoka nchini Ujerumani Bibi. Stefane Deuser akichangia mada kwenye 
warsha ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa
 afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari.
Mwakilishi
 kutoka nchini Ujerumani Bibi. Stefane Deuser akichangia mada kwenye 
warsha ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa
 afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari.  
  
Mratibu
 wa Kanda kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia mazingira
 (UNEP) Bw.Patrick Mwesigye akizungumza leo jijini Dar es salaam kwenye 
warsha ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa
 afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari. 
 
0 comments:
Post a Comment