Pages

Ads 468x60px

Thursday, November 26, 2015

Serikali yajidhatiti kupambana na kemikali zenye madhara maeneo ya bandari

 
Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele akifungua mafunzo ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari leo jijini Dar es salaam. 
Meneja wa Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Mashariki Bw. Daniel Ndiyo akiwakaribisha wadau wa masuala ya kemikali kutoka Mataifa mbalimbali kushiriki katika mafunzo ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari leo jijini Dar es salaam. 
Wadau wa masuala ya kemikali kutoka Mataifa mbalimbali wakifuatilia mafunzo ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari leo jijini Dar es salaam. Mwakilishi kutoka nchini Ujerumani Bibi. Stefane Deuser akichangia mada kwenye warsha ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari.  
Mratibu wa Kanda kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia mazingira (UNEP) Bw.Patrick Mwesigye akizungumza leo jijini Dar es salaam kwenye warsha ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari.

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates