Mkemia
Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele akifungua mafunzo ya kujiandaa
kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa afya na mazingira
kwenye maeneo ya bandari leo jijini Dar es salaam.
Meneja
wa Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Mashariki Bw. Daniel Ndiyo
akiwakaribisha wadau wa masuala ya kemikali kutoka Mataifa mbalimbali
kushiriki katika mafunzo ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali
zenye madhara kwa afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari leo jijini
Dar es salaam.
Wadau
wa masuala ya kemikali kutoka Mataifa mbalimbali wakifuatilia mafunzo
ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa afya
na mazingira kwenye maeneo ya bandari leo jijini Dar es salaam.
Mwakilishi
kutoka nchini Ujerumani Bibi. Stefane Deuser akichangia mada kwenye
warsha ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa
afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari.
Mratibu
wa Kanda kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia mazingira
(UNEP) Bw.Patrick Mwesigye akizungumza leo jijini Dar es salaam kwenye
warsha ya kujiandaa kukabiliana na dharura ya kemikali zenye madhara kwa
afya na mazingira kwenye maeneo ya bandari.
0 comments:
Post a Comment