Mkurugenzi Msaidizi Toka Wizara ya
 Elimu na Mafunzo ya Ufundi stadi Dkt.Jonathan Mbwambo akifafanua kwa 
waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mpango wa Serikali 
wa kuendeleza stadi za kazi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ili 
kuongeza tija katika sekta zote nchini,kulia ni Mkurugenzi Msaidizi 
Idara ya Habari Maelezo Bi. Zamaradi Kawawa.
Thursday, November 26, 2015
Serikali imejipanga kukuza na kuendeleza Stadi za Kazi nchini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment