Mkurugenzi Msaidizi Toka Wizara ya
Elimu na Mafunzo ya Ufundi stadi Dkt.Jonathan Mbwambo akifafanua kwa
waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mpango wa Serikali
wa kuendeleza stadi za kazi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ili
kuongeza tija katika sekta zote nchini,kulia ni Mkurugenzi Msaidizi
Idara ya Habari Maelezo Bi. Zamaradi Kawawa.
Thursday, November 26, 2015
Serikali imejipanga kukuza na kuendeleza Stadi za Kazi nchini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment