Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akizungumza na baadhi ya Wanawake wanaounda Umoja wa Wanawake Wanasiasa
kutoka Vyama mbalimbali vya Siasa Tanzania walio katika Mtandao wa
Ulingo, wakati alipokutana nao katika kikao kilichoandaliwa na
Wanaulingo hao maalum kwa ajili ya kumpongeza kilichofanyika kwenye
Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo Nov 26, 2015. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akizungumza na baadhi ya Wanawake wanaounda Umoja wa Wanawake Wanasiasa
kutoka Vyama mbalimbali vya Siasa Tanzania walio katika Mtandao wa
Ulingo, wakati alipokutana nao katika kikao kilichoandaliwa na
Wanaulingo hao maalum kwa ajili ya kumpongeza kilichofanyika kwenye
Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo Nov 26, 2015. Picha na OMR
Baadhi
ya Wanawake Wanaulingo wakimsikiliza Mhe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akiwahutubia kwenye
katika kikao kilichoandaliwa na Wanaulingo hao maalum kwa ajili ya
kumpongeza kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo
Nov 26, 2015. Picha na OMR
Balozi Getrude Mongela, akichangia moja ya kati ya mada zilizokuwa zikizungumziwa katika kikao hicho leo. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akisalimiana na baadhi ya Wanaulingo alipokuwa akipokelewa alipowasili
kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo Nov 26, 2015 kwa ajili ya
kuhudhuria kwenye Kikao maalum kilichoandaliwa na Wanaulingo Tanzania
kwa ajili ya kumpongeza . Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akishiriki kuimba wimbo maalum wa mshikamano kwa wanawake wakati wa
kikao kilichoandaliwa na Wanaulingo Tanzania maalum kwa ajili ya
kumpongeza kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo
Nov 26, 2015. Picha na OM
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akishiriki kuimba wimbo maalum wa mshikamano kwa wanawake wakati wa
kikao kilichoandaliwa na Wanaulingo Tanzania maalum kwa ajili ya
kumpongeza kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo
Nov 26, 2015. Picha na OM
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akipokea zawadi ya picha baada ya kumalizika kwa kikao kilichoandaliwa
na Wanaulingo Tanzania maalum kwa ajili ya kumpongeza kilichofanyika
kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo Nov 26, 2015. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akifurahia jambo na Balozi Getrude Mongela baada ya kumalizika kwa kikao
kilichoandaliwa na Wanaulingo Tanzania maalum kwa ajili ya kumpongeza
kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo Nov 26,
2015. Picha na OMR
0 comments:
Post a Comment