Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akizungumza na baadhi ya Wanawake wanaounda Umoja wa Wanawake Wanasiasa 
kutoka Vyama mbalimbali vya Siasa Tanzania walio katika Mtandao wa 
Ulingo, wakati alipokutana nao katika kikao kilichoandaliwa na 
Wanaulingo hao maalum kwa ajili ya kumpongeza kilichofanyika kwenye 
Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo Nov 26, 2015. Picha na OMR
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akizungumza na baadhi ya Wanawake wanaounda Umoja wa Wanawake Wanasiasa 
kutoka Vyama mbalimbali vya Siasa Tanzania walio katika Mtandao wa 
Ulingo, wakati alipokutana nao katika kikao kilichoandaliwa na 
Wanaulingo hao maalum kwa ajili ya kumpongeza kilichofanyika kwenye 
Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo Nov 26, 2015. Picha na OMR
Baadhi
 ya Wanawake Wanaulingo wakimsikiliza Mhe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya 
Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akiwahutubia kwenye
 katika kikao kilichoandaliwa na Wanaulingo hao maalum kwa ajili ya 
kumpongeza kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo 
Nov 26, 2015. Picha na OMR
Balozi Getrude Mongela, akichangia moja ya kati ya mada zilizokuwa zikizungumziwa katika kikao hicho leo. Picha na OMR
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akisalimiana na baadhi ya Wanaulingo alipokuwa akipokelewa alipowasili 
kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo Nov 26, 2015 kwa ajili ya 
kuhudhuria kwenye Kikao maalum kilichoandaliwa na Wanaulingo Tanzania 
kwa ajili ya kumpongeza . Picha na OMR
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akishiriki kuimba wimbo maalum wa mshikamano kwa wanawake wakati wa 
kikao kilichoandaliwa na Wanaulingo Tanzania maalum kwa ajili ya 
kumpongeza kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo 
Nov 26, 2015. Picha na OM
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akishiriki kuimba wimbo maalum wa mshikamano kwa wanawake wakati wa 
kikao kilichoandaliwa na Wanaulingo Tanzania maalum kwa ajili ya 
kumpongeza kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo 
Nov 26, 2015. Picha na OM
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akipokea zawadi ya picha baada ya kumalizika kwa kikao kilichoandaliwa 
na Wanaulingo Tanzania maalum kwa ajili ya kumpongeza kilichofanyika 
kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo Nov 26, 2015. Picha na OMR
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akifurahia jambo na Balozi Getrude Mongela baada ya kumalizika kwa kikao
 kilichoandaliwa na Wanaulingo Tanzania maalum kwa ajili ya kumpongeza 
kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam,leo Nov 26, 
2015. Picha na OMR
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment