Katibu
 Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa 
Elisante Ole Gabriel akipokea zawadi ya ngao kutoka kwa Bibi. Dorice 
Assenga (katikati) kwa niaba ya Vijana kutoka Tanzania walioshiriki 
mkutano wa tatu wa Vijana kutoka nchi za Bonde la Mto Nile uliofanyika 
nchini Misri kuanzia tarehe 9 – 16 Novemba 2015 ukiwa na lengo la 
kubadilishana uzoefu kutoka nchi washiriki. Kulia ni Mkurugenzi wa 
Maendeleo ya Vijana Bw. James Kajugusi.
 Katibu
 Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa 
Elisante Ole Gabriel akizungumza na Vijana wa Tanzania walioshiriki 
mkutano wa tatu wa Vijana kutoka nchi za Bonde la Mto Nile (hawapo 
pichani) uliofanyika nchini Misri kuanzia tarehe 6 – 14 Novemba 2015 
ukiwa na lengo la kubadilishana uzoefu kutoka nchi washiriki. Kulia ni 
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Bw. James Kajugusi
 Baadhi ya vijana wa Tanzania  walioshiriki
 mkutano wa tatu wa Vijana kutoka nchi za Bonde la Mto Nile uliofanyika 
nchini Misri kuanzia tarehe 9 – 16 Novemba 2015.Kutoka kushoto ni Baraka
 Chedego, Paul Simango na Rwihula Daniel
Katibu
 Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa 
Elisante Ole Gabriel akiwa katika picha ya pamoja na Vijana kutoka 
Tanzania walioshiriki mkutano wa tatu wa Vijana kutoka nchi za Bonde la 
Mto Nile uliofanyika nchini Misri kuanzia tarehe 9 – 16 Novemba 2015 
ukiwa na lengo la kubadilishana uzoefu kutoka nchi washiriki.
 
 
 
 
 
 




 
 
0 comments:
Post a Comment