Pages

Ads 468x60px

Thursday, November 26, 2015

siku ya pili Papa Francis ndani ya Nairobi Kenya



Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ametua jana November 25 2015 ndani ya Nairobi Kenya… huu ni ugeni mwingine mkubwa na wa kimataifa kuwasili Kenya ndani ya mwaka 2015, kama unakumbuka Rais Obama alikuwa Nairobi pia mwezi July 2015.
GettyImages-498678272_master-600x400
Hii ilikuwa jana wakati Papa akisubiriwa kuwasili Nairobi.
Siku ya pili ndio leo ambapo Papa Francis amefanya ibada katika viwanja vya Chuo Kikuu Nairobi Kenya.. hapa ninazo baadhi ya picha kuanzia mitaa ya Nairobi mpaka viwanjani kwenye ibada maalum aliyoifanya.
GettyImages-498591574_master-600x400
Mabango ya mitaani Nairobi.
GettyImages-498591610_master-600x400
.
GettyImages-498787006_master-600x400
Siku ikaanza kwa watu kuanza kukusanyika viwanja vya Chuo Kikuu Nairobi kwa ajili ya ibada ya Papa Francis leo.
GettyImages-498787032_master-600x400
Papa akiwasili Chuo Kikuu Nairobi kwa ajili ya ibada.
GettyImages-498787012_master-600x400
.
GettyImages-498788550_master-600x400
Miamvuli ilitawala kutokana na hali ya hewa ya mvua.
GettyImages-498788562_master-600x400
Ulinzi uliimarishwa, juu ya ukuta ni vikosi vya watu wa usalama
GettyImages-498788564_master-600x400
Kurasa za magazeti ya Nairobi leo zilikuwa na headlines za Papa !!

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates