Pages

Ads 468x60px

Thursday, November 26, 2015

JK ATINGA OFISINI KWAKE LUMUMBA


Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye mara baada ya kuwasili kwenye Makao Makuu ya Chama Ofisi Ndogo Lumumba.

Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ofisini kwake Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba .

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates