Mbunge wa Jimbo la Chumbuni
Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwasalimia Wananchi wa Jimbo la
Chumbuni wakati wa mkutano wake wa kutowa shukrani kwa Wapiga kura wake
mkutano uliofganyika katika Afisi za Jimbo Tawi la CCM Muembemakumbi
Zanzibar.
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni
Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwasalimia Wananchi wa Jimbo la
Chumbuni wakati wa mkutano wake wa kutowa shukrani kwa Wapiga kura wake
mkutano uliofganyika katika Afisi za Jimbo Tawi la CCM Muembemakumbi
Zanzibar.
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni
Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwahutubia Wananchi wa Jimbo la
Chumbuni Zanzibar wakati wa mkutano wake wa kutowa shukrani kwa Wananchi
wa Jimbo hilo kwa kumchagua kuwa Mbunge wao na kuwataka kuwa wamoja na
kujiandaa na maendekleo katika jimbo lake.
Na kusema sasa makundi basi
iliobaki ni Kazi Tu kwa maendeleo ya Wananchi wa Jimbo hilo na kusema
yeye ni Mbunge wa Wananchi wa Chumbuni wote
Wananchi wa Jimbo la Chumbuni wakimsikiliza Mbunge wao wakati wa hafla ya kuwashukuru
Wananchi wa Jimbo la Chumbuni
wakimsikiliza Mbunge wao wakati akitowa shukrani kwa wapiga kura wake
katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya Jimbo Tawi la
CCM Muembemakumbi Zanzibar.
Wananchi wa Jimbo la Chumbuni
wakimsikiliza Mbunge wao wakati akitowa shukrani kwa wapiga kura wake
katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya Jimbo Tawi la
CCM Muembemakumbi Zanzibar.
0 comments:
Post a Comment