Mbunge wa Jimbo la Chumbuni 
Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwasalimia Wananchi wa Jimbo la 
Chumbuni wakati wa mkutano wake wa kutowa shukrani kwa Wapiga kura wake 
mkutano uliofganyika katika Afisi za Jimbo Tawi la CCM Muembemakumbi 
Zanzibar.
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni 
Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwasalimia Wananchi wa Jimbo la 
Chumbuni wakati wa mkutano wake wa kutowa shukrani kwa Wapiga kura wake 
mkutano uliofganyika katika Afisi za Jimbo Tawi la CCM Muembemakumbi 
Zanzibar.
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni 
Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akiwahutubia Wananchi wa Jimbo la 
Chumbuni Zanzibar wakati wa mkutano wake wa kutowa shukrani kwa Wananchi
 wa Jimbo hilo kwa kumchagua kuwa Mbunge wao na kuwataka kuwa wamoja na 
kujiandaa na maendekleo katika jimbo lake.
 Na kusema sasa makundi basi 
iliobaki ni Kazi Tu kwa maendeleo ya Wananchi wa Jimbo hilo na kusema 
yeye ni Mbunge wa Wananchi wa Chumbuni wote 
Wananchi wa Jimbo la Chumbuni wakimsikiliza Mbunge wao wakati wa hafla ya kuwashukuru 
Wananchi wa Jimbo la Chumbuni 
wakimsikiliza Mbunge wao wakati akitowa shukrani kwa wapiga kura wake 
katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya Jimbo Tawi la 
CCM Muembemakumbi Zanzibar. 
Wananchi wa Jimbo la Chumbuni 
wakimsikiliza Mbunge wao wakati akitowa shukrani kwa wapiga kura wake 
katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya Jimbo Tawi la 
CCM Muembemakumbi Zanzibar.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment