Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj 
Ali Hassan Mwinyi (kulia) akikabidhi Picha yake rasmi kwa Balozi wa Iran
 nchini Tanzania, Mh. Mehdi Aghajafari, wakati alipomtembelea Nyumbani 
kwake, Mikocheni, Jijini Dar es salaam Disemba 14, 2015.
 Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj
 Ali Hassan Mwinyi (kulia) akikabidhi Picha kwa Balozi wa Iran nchini 
Tanzania, Mh. Mehdi Aghajafari, inayoonyesha sehemu ya Utamaduni wa 
Tanzania, wakati alipomtembelea Nyumbani kwake, Mikocheni, Jijini Dar es
 salaam Disemba 14, 2015.
 Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj 
Ali Hassan Mwinyi akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Iran nchini 
Tanzania, Mh. Mehdi Aghajafari pamoja na Msaidizi wake mpya, Bw. Ali 
Bagheni. Balozi huyo alifika nyumbani kwa Mzee Mwinyi kwa kumtambulisha 
Msaidizi wake huyo Mpya, leo Disemba 14, 2015.
 
 
 
 
 
 




 
 
0 comments:
Post a Comment