Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu 
Hassan, akizungumza na Balozi wa Cuba nchini Tanzania, Mhe. Jorge Luis 
Lopez, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo 
Desemba 14, 2015 kwa mazungumzo. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na  Balozi
 wa Cuba nchini Tanzania, Mhe. Jorge Luis Lopez, baada ya mazungumzo yao
 yaliyofanyika Ofisini kwa Mhe Makamu, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo 
Desemba 14, 2015 kwa mazungumzo. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu 
Hassan, akizungumza na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Mhe. Yasemin 
Eralp, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo 
Desemba 14, 2015 kwa mazungumzo. Picha na OMR
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na  Balozi
 wa Uturuki nchini Tanzania, Mhe. Yasemin Eralp, baada ya mazungumzo yao
 yaliyofanyika Ofisini kwa Mhe Makamu, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo 
Desemba 14, 2015 kwa mazungumzo. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu 
Hassan, akimkaribisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na
 Mazingira, Mhe. Januari Makamba, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu 
jijini Dar es Salaam, leo Desemba 14, 2015 kwa ajili ya kujitambulisha 
baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu 
Hassan, akiwa katika mazungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa 
Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Januari Makamba, wakati alipofika 
Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Desemba 14, 2015 kwa ajili
 ya kujitambulisha baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo. Picha na OMR
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment