Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama
(wapili kushoto), na Naibu Mawaziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Abdallah
Possi (wapili kulia) na Anthony Mavunde (kulia) baada ya kuwakabidhi
taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu wakati waliporipoti Ofisini kwa Waziri
Mkuu kuanza kazi Desemba 14, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa
akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama
(katikati), Naibu Mawaziri Dkt. Abdallah Possi (kulia) na Anthony
Mavunde (wapili kulia)) baada ya mawaziri hao kuripoti Ofisini kwake
kuanza kazi Desemba 14, 2015. Kushoto ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri
Mkuu, Dkt, Florence Turuka, Wanne kushoto ni katibu Mkuu Kazi na Ajira,
Eric Shitindi na watatu kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri
Mkuu, Regina Kikula.
Waziri Mkuu, Kassim majaliwa akiwa
katika picha ya pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista
Mhagama (kushoto) na Naibu Mawaziri, Dkt. Abdallah Possi (Wapili
kulia) na Anthony Mavunde (kulia) baada ya Waziri huyo na Manaibu wake
kuripoti Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam kuanza kazi
Desemba 14, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu, Jenista Mhagama na Naibu Mawaziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu,
Abdallah Possi na (wapili kushoto) na Anthony Mavunde (kushoto)
wakisalimiana na Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waliojitokeza
kuwapokea na kuwakaribisha wakati walipoingia Ofisini kwa Waziri Mkuu
jijini Dar es salaam kuanza kazi , Desemba 14, 2015. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri wa Nchi, ofisi ya Waziri
Mkuu, Jenista Mhagama akipokea maua kutoka kwa mtumishi wa ofisi ya
Waziri Mkuu, Numpe mwadumbya (kushoto) baada ya kuwasili ofisini kwa
Waziri Mkuu jijini Dar es salaam kuanza kazi Desemba 14, 2015. (Picha na
Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu, Jenista Mhagama (wapili kushoto) akishuhudia wakati Naibu Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde (wapili kulia ) na Dkt.
Abdallah Possi(kulia) wakipokea maua kutoka kwa Mtumishi wa Ofisi ya
Waziri Tina Ambros (kushoto) baada ya kuwasili kwenye ofisi ya Waziri
Mkuu jijini Dar es salaam kuanza kazi Desemba 14, 2015. (Picha na
Ofisiya Waziri Mkuu)
Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu, Jenista Mhagama na Naibu Mawaziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu,
Abdallah Possi na (wapili kushoto) na Anthony Mavunde (kushoto)
wakisalimiana na Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waliojitokeza
kuwapokea na kuwakaribisha wakati walipoingia Ofisini kwa Waziri Mkuu
jijini Dar es salaam kuanza kazi , Desemba 14, 2015. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu, Jenista Mhagama na Naibu Mawaziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu,
Abdallah Possi na (wapili kushoto) na Anthony Mavunde (kushoto)
wakisalimiana na Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waliojitokeza
kuwapokea na kuwakaribisha wakati walipoingia Ofisini kwa Waziri Mkuu
jijini Dar es salaam kuanza kazi , Desemba 14, 2015. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu, Jenista Mhagama na Naibu Mawaziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu,
Abdallah Possi na (wapili kushoto) na Anthony Mavunde (kushoto)
wakisalimiana na Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waliojitokeza
kuwapokea na kuwakaribisha wakati walipoingia Ofisini kwa Waziri Mkuu
jijini Dar es salaam kuanza kazi , Desemba 14, 2015. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu, Jenista Mhagama akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu
jijini Dar es salaam Desemba 14, 2015 baada ya kuwasili ofisini kuanza
kazi . Kushoto ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt.
Abdallah Possi na kulia ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,
Anthony Mavunde. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akiteta na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Florence Turuka
(kabla ya kuwapokea Waziri na Naibu Mawaziri, Ofisini kwake jijini Dar
es salaam, Desemba 14, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akimkabidhi taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Nchi, Ofisi ya
Waziri Mkuu, Jenista Mhagama wakati aliporipoti Ofisini kwake jijini Dar
es salaam kuanza kazi Desemba 14, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akimkabidhi taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Naibu Waziri wa Nchi, ofisi
ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde wakati aliporipoti Ofisini kwake
jijini Dar es salaam kuanza kazi Desemba 14, 2015. Katikati ni Waziri wa
Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenisa Mhagama .(Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akimkabidhi taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Naibu Waziri wa Nchi, ofisi
ya Waziri Mkuu, Dkt Abdallah Possi wakati aliporipoti Ofisini kwake
jijini Dar es salaam kuanza kazi Desemba 14, 2015. Wapili kushoto ni
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenisa Mhagama na kulia ni Naibu
Waziri wa Nchi, ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde
0 comments:
Post a Comment