Wizara
 ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Baraza la Taifa la Usimamizi 
wa Mazingira (NEMC) na Manispaa za jiji la Dar es salaam zitafanya zoezi
 la kuondoa wavamizi maeneo yote ya Mabondeni, kingo za mito  na za 
Bahari, maeneo ya wazi, maeneo ya miundombinu na maeneo yote hatarishi 
zaidi ya 150 katika  jiji la Dar es salaam. Bomoa bomoa ya leo 
inaendelea katika Bonde la mto msimbazi. Mkuu
 wa Kitengo cha Sheria Balaza la Taifa la usimamizi wa mazingira 
Tanzania (NEMC), Manchale Heche akizungumza na wandishi wa habari 
(hawapo pichani) jijini Dar es Salaam juu ya zoezi la Bomoabomoa maeneo 
ya miundombinu na maeneo yote hatarishi nakuwataka wananchi waliojenga 
katika fukwe za bahari Kingo za mito na mikondo ya bahari kuhamisha mali
 zao mapema.
Mkuu
 wa Kitengo cha Sheria Balaza la Taifa la usimamizi wa mazingira 
Tanzania (NEMC), Manchale Heche akizungumza na wandishi wa habari 
(hawapo pichani) jijini Dar es Salaam juu ya zoezi la Bomoabomoa maeneo 
ya miundombinu na maeneo yote hatarishi nakuwataka wananchi waliojenga 
katika fukwe za bahari Kingo za mito na mikondo ya bahari kuhamisha mali
 zao mapema.
 Mkuu
 wa Kitengo cha Sheria Balaza la Taifa la usimamizi wa mazingira 
Tanzania (NEMC), Manchale Heche akizungumza na wandishi wa habari 
(hawapo pichani) jijini Dar es Salaam juu ya zoezi la Bomoabomoa maeneo 
ya miundombinu na maeneo yote hatarishi nakuwataka wananchi waliojenga 
katika fukwe za bahari Kingo za mito na mikondo ya bahari kuhamisha mali
 zao mapema.
Mkuu
 wa Kitengo cha Sheria Balaza la Taifa la usimamizi wa mazingira 
Tanzania (NEMC), Manchale Heche akizungumza na wandishi wa habari 
(hawapo pichani) jijini Dar es Salaam juu ya zoezi la Bomoabomoa maeneo 
ya miundombinu na maeneo yote hatarishi nakuwataka wananchi waliojenga 
katika fukwe za bahari Kingo za mito na mikondo ya bahari kuhamisha mali
 zao mapema.
Wananchi wakitoa samani pamoja na vitu mbalimbali ndani ya nyumba zao ili kupisha ubomoaji wa nyumba zilizo maeneo hatarishi. 

Wananchi pamoja na polisi (Wazee wa kazi) wakiangalia ubomoaji unavyoendelea bila vurugu.
Vijana wakiokota vitu mbalimbali katika maeneo yaliyobomolewa leo jijini Dar es Salaam. 
Wananchi wakiwa maeneo hatarishi ambayo yanasubiri kubomorewa. 
Uondoaji wa vyuma katika nyumba inayongoja kubomolewa. 
 Vitu mbalimbali vikiwa vimetolewa nje ili kupisha ubomoaji wa nyumba.
 
 
 
 
 
 













 
 
0 comments:
Post a Comment