Pages

Ads 468x60px

Thursday, December 17, 2015

Uongozi wa StarTimes waishukuru Serikali kwa ushirikiano mzuri inaowapa


 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akimkaribisha ofisini kwake Makamu wa Rais wa Kampuni ya Star Times Tanzania Bi. Zuhura Hanif leo jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akielezea jambo wakati wa mazungumzo baina yake na uongozi wa Star Times waliomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO Liofang na Makamu wa Rais wa StarTimes Africa Bw. Eric Xue
 Makamu wa Rais wa StarTimes Africa Bw. Eric Xue afafanua jambo wakati wa mazungumzo baina ya wawakilishi wa  StarTimes na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel (kulia) leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO Liofang.
 Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO Liofang akielezea jambo wakati wa mazungumzo baina ya wawakilishi wa StarTimes na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel leo jijini Dar es Salaam.Katikati ni Makamu wa Rais wa StarTimes Africa Bw. Eric Xue

 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea zawadi ya Kadi ya Krismasi aliyokabidhiwa kwa niaba ya uongozi wa StarTimes Tanzania na Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO Liofang. Katikati ni Makamu wa Rais wa StarTimes Africa Bw. Eric Xue
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akishukuru mara baada ya kupokea zawadi ya Kadi ya Krismasi aliyokabidhiwa kwa niaba ya uongozi wa StarTimes Tanzania na Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO Liofang (kushoto). Katikati ni Makamu wa Rais wa StarTimes Africa Bw. Eric Xue
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel(mwenye tai) akitoa neno la shukrani kwa uongozi wa StarTimes kwa kumtembelea ofisini kwake na kuipongeza Serikali kwa ushirikiano inaowapa katika kutekeleza wajibu wao kama wabia wa habari hapa nchini.Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO Bw. Assah Mwambene,Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO Liofang,Makamu wa Rais wa StarTimes Africa Bw. Eric Xue na Makamu wa Rais wa StarTimes Tanzania Bi. Zuhura Hanif
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel(katikati)akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa StarTimes Tanzania walipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO Bw. Assah Mwambene, Makamu wa Rais wa StarTimes Africa Bw. Eric Xue, Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO Liofang na Makamu wa Rais wa StarTimes Tanzania Bi. Zuhura Hanif

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates