Meneja
wa Kanda ya Dar es Salaam wa kampuni ya GAPCO Tanzania, Jane Mwita
(kati) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya
tatu ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" inayoendeshwa na Kampuni
hiyo kwa Wateja wake wa jijini Dar es Salaam,ambapo zaidi ya wateja 20
huibuka kidedea kila wiki. Kulia anaeshuhudia ni Mkaguzi wa michezo ya
kubahatisha nchini, Chiku Saleh na Kushoto ni Meneja Masoko wa GAPCO
Tanzania, Caroline Kakwezi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment