SHIRIKISHO
 la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kwa kushirikiana na Chama cha Soka Mkoa 
wa Mbeya (MREFA) wameandaa kozi ya makocha wa mpira wa miguu Leseni C, 
itakayofanyika jijini Mbeya kuanzia Disemba 21- 04 Januari, 2016.
Jumla 
ya makocha 46 kutoka katika kanda ya Nyanda za Juu Kusini wanatazamiwa 
kushiriki kozi hiyo ya wiki mbili, ambayo itaendeshwa na wakufunzi Kidao
 Wilfred na Salum Madadi.
Washiriki
 wa kozi hiyo ni Mussa Kasalika, Steven Viera, Golya, Mlekwa, Matokeo 
Sigalla, Ernest Nkandi, Felix A. Sosteness, Michael Mwamaja, Daniel 
Mwaisabila, Deus Nsheka, Albert Gama, Joseph Abiero, Simon Mwapili, 
Bahati Mwaipopo, Willy Ngailo, Charles Makwaza, Paul Msyahila, Osward 
Morris, Jacob Ndago, Castor Mahona, Ambilikile Albion, Jumanne Nsunye, 
Gowdin Mulenga.
Wengine
 ni Abel Shizya, Matatizo Abdallah, Michael Kasekenya, Thomas Kasombwe, 
James Wanyato, Rose Njobelo, Amos Chiwaya, Baraka Kibanga, Mohamed 
Dondo, Josephat Digna, Shabani Mwaibara, Lucas Kibaja, Yusuph Mlekwa, 
Joel Makitta, Josiah Steven, Rashid Kasiga, Charles Njango, Alex 
Lusekelo, Shabani Kazumba, Ismail Suleiman, Ibrahim Kasegese, Simon 
Bernard, Anthony Mwamlima, Christian Simkoko.
 
 
 
 
 
 

 
 
0 comments:
Post a Comment