Pages

Ads 468x60px

Thursday, December 17, 2015

Wateja wa Airtel kushinda mamilioni ya pesa kupitia promosheni ya “Airtel MKWANJIKA”

Meneja uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando pamoja na Meneja Masoko wa Airtel Bi Anethy Muga kwa pamoja wakizindua promosheni mpya ya “Airtel MKWANJIKA” itakayowawezesha wateja wote wa Airtel nchi nzima kujishindia mamilioni ya pesa taslimu kila siku.
Meneja Masoko wa Airtel Bi Anethy Muga akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa promosheni mpya ijulikanayo kama “Airtel MKWANJIKA” itakayowawezesha wateja wote wa Airtel nchi nzima kujishindia mamilioni ya pesa taslimu kila siku.
Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando akielezea jinsi promosheni ya Airtel Mkwanjuka itakavyoendeshwa wakati uzinduzi wa promosheni hiyo itakayowawezesha wateja wa Airtel nchi nzima kujishindia mamilioni ya pesa hadi shilingi milioni 300.

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates