Meneja
uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando pamoja na Meneja Masoko wa Airtel
Bi Anethy Muga kwa pamoja wakizindua promosheni mpya ya “Airtel
MKWANJIKA” itakayowawezesha wateja wote wa Airtel nchi nzima kujishindia
mamilioni ya pesa taslimu kila siku.
Meneja
Masoko wa Airtel Bi Anethy Muga akiongea na waandishi wa habari wakati
wa uzinduzi wa promosheni mpya ijulikanayo kama “Airtel MKWANJIKA”
itakayowawezesha wateja wote wa Airtel nchi nzima kujishindia mamilioni
ya pesa taslimu kila siku.
Meneja
Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando akielezea jinsi promosheni ya
Airtel Mkwanjuka itakavyoendeshwa wakati uzinduzi wa promosheni hiyo
itakayowawezesha wateja wa Airtel nchi nzima kujishindia mamilioni ya
pesa hadi shilingi milioni 300.
0 comments:
Post a Comment