Pages

Ads 468x60px

Tuesday, December 15, 2015

BANK YA MKOMBOZI YAFUNGUA TAWI JIPYA MJINI BUKOBA.


Mhashamu Baba Askofu Desiderius Rwoma wa Jimbo Katoliki Bukoba leo wakati wa Ufunguzi wa Tawi Jipya la Benki ya Mkombozi, Ndiye aliyelifungua Rasmi.
Mheshimiwa Mama Edwina Lupembe, Mkurugenzi wa “Mkombozi Commercial Bank"  akiteta jambo kwa furaha na Mhashamu Baba Askofu Desiderius Rwoma wa Jimbo Katoliki Bukoba leo wakati wa Ufunguzi wa Tawi Jipya la Benki ya Mkombozi.
Taswira nje ya Jengo hilo la Benki hiyo!

Maeneo tofauti ya Benki hiyo kwa ndani iliyofunguliwa rasmi leo hii

Pongezi kwa Mama Mama Edwina Lupembe, Mkurugenzi wa “Mkombozi Commercial Bank" kwa Kusogezea Wakaazi wa Mji wa Bukoba na Vitongoji Vyake Bank hiyo.
Mbunge wa Bukoba Mjini(Chadema) Bw. Wilfred Lwakatare akisalimiana na Mama Mama Edwina Lupembe, Mkurugenzi wa “Mkombozi Commercial Bank" leo Mjini Bukoba.
Bw. Wilfred Lwakatare Mbunge wa Bukoba Mjini(Chadema) akitoa Neno wakati wa Afra hiyo ya Ufunguzi wa Tawi Jipya la Mkombozi Benki.Picha za Pamoja


0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates