Mbunge
 wa jimbo Ubungo,(Chadema) Saed Kubenea amefikishwa mahakama ya Kisutu 
jijini Dar es Salaam mapema hii leo akielekea katika  chumba cha 
kusomewa shtaka la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya 
Kinondoni, Paul Makonda.
 Mbunge wa
 jimbo Ubungo,(Chadema) Said Kubenea akiwa na wanachama wa chama cha 
Demokrasia na Maendeleo, leo mara baada ya kusomewa shitaka lililokuwa 
likimkabiri katika mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam leo. 
 Mbunge wa
 jimbo Ubungo,(Chadema) Saed Kubenea akizungumza na waandishi wa habari 
katika mahakama ya kisutu jijini Dar es Salaam leo.
Hata hivyo, Kubenea amekana kufanya kitendo hicho na kesi yake imehairishwa hadi Desema 29, mwaka huu.
Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment