Mkuu
 wa mkoa wa Dodoma, Mh. Chiku Gallawa akisalimia na wachezaji wa timu ya
 Zanzibar Univestity wakati wa ufunguzi wa mashindano ya shirikirisho la
 vyuo vikuu Tanzania (TUSA) yatakayojumuisha michezo mbalimbali ambayo 
yanafanyika Katika chuo kikuu cha Dodoma.
Mkuu
 wa mkoa wa Dodoma, Mh. Chiku Gallawa akizungumza wakati akifungua 
mashindano ya shirikirisho la vyuo vikuu Tanzania (TUSA) 
yatakayojumuisha michezo mbalimbali ambayo yanafanyika Katika chuo kikuu
 cha Dodoma.
washiriki
 mbalimbali wa mashindano ya shirikirisho la vyuo vikuu Tanzania (TUSA) 
yatakayojumuisha michezo mbalimbali ambayo yanafanyika Katika chuo kikuu
 cha Dodoma.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment