: Katibu Mkuu Wizara ya Habari, 
Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (katikati) 
akizungumza na viongozi wa mashirikisho ya sanaa wakati wa kikao cha 
kuchanganua changamoto zilizopo katika tasnia ya sanaa jana Jijini Dar 
es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Sanaa Bibi. Leah Kihimbi na 
kulia ni Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fisoo
Rais wa Shirikisho la Sanaa za 
Maonyesho Bibi. Agnes Lukanga (wapili kulia) akichangia mada wakati wa 
kikao kilichoandaliwa na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo 
kuchanganua changamoto zilizopo katika tasnia ya sanaa jana Jijini Dar 
es Salaam. 
Rais wa Shirikisho la Filamu Bw. 
Simon Mwakifamba (wapili kushoto) akifafanua jambo wakati wa kikao 
kilichoandaliwa na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo 
kuchanganua changamoto zilizopo katika tasnia ya sanaa jana Jijini Dar 
es Salaam. Kushoto ni msemaji wa Shirikisho la Filamu Bw. John Kallage.
Baadhi ya viongozi wa mashirikisho
 ya sanaa wakifuatilia kwa makini mada zilizokua zikiendelea wakati wa 
kikao kilichoandaliwa na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo 
kuchanganua changamoto zilizopo katika tasnia ya sanaa jana Jijini Dar 
es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, 
Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (watatu kulia 
waliokaa) katika picha ya pamoja na viongozi wa mashirikisho ya sanaa 
baada ya kumaliza kikao cha kuchanganua changamoto zilizopo katika 
tasnia ya sanaa jana Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi 
Msaidizi Sanaa Bibi. Leah Kihimbi, wapili kushoto ni Katibu Mtendaji 
Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fisoo na watatu kushoto ni Rais wa Shirikisho
 la Filamu Bw. Simon Mwakifamba.Picha na: Genofeva Matemu – Maelezo
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment