Pages

Ads 468x60px

Tuesday, December 15, 2015

MAWAZIRI WAKABIDHIWA OFISI





mah1
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. January Makamba akipokea nyaraka za Ofisi wakati akikabidhiwa Ofisi na Waziri aliyemaliza muda wake Dk. Binilith Mahenge Ofisini Mtaa wa Luthuli Dar es Salaam.
mah2
Naibu Waziri   Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. Luhaga Mpina akikabidhiwa nyaraka za Ofisi na Naibu Waziri aliyemaliza muda wake Mh. Stephen Masele . Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini jijini Dar es Salaam
mah3
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais akiwa Bwana Sazi Salula akiwa katika picha ya pamoja na  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. January Makamba na Waziri aliyemaliza muda wake Dkt. Binilith Mahenge mara baada ya makabidhiano ya Ofisi.

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates