Waziri
 wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na 
Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) (kulia) akiwa katika 
mazungumzo na Waziri wa Nchi wa Mambo ya Nje wa Japan yaliyofanyika 
katika Ofisi ya Wizara hiyo leo.
Walioshuhudia mazungumzo hayo kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa 
Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi 
Mbelwa Kairuki, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Bi, Mindi 
Kasiga na Katibu wa Waziri, Bw. Thobias Makoba.
Maofisa kutoka Serikali ya Japan.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment